Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na
mwenyeji wake Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta wakiserebuka na wanakwaya
katika eneo la Karen mara baada ya kufungua barabara “mchepuko” ya
(Nairobi Southern Bypass), nchini Kenya Novemba 1, 2016. (PICHA NA IKULU)
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na
mwenyeji wake Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, Naibu Rais wa Kenya William
Rutto pamoja na viongozi wengine, wakikata utepe kuashiria ufunguzi wa
barabara ya kupunguza msongamano ya Nairobi Southern Bypass nchini
Kenya.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipata
maelezo kutoka kwa Bi. Lucy Karuga kuhusu usindikaji wa mazao ya chakula
katika kiwanda cha Maziwa cha Eldoville katika eneo la Karen nchini
Kenya.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiangalia
usindikaji wa Samli katika kiwanda hicho cha maziwa cha Eldoville nchini
Kenya.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akisalimiana na Mama Ngina Kenyatta mama mzazi wa Rais wa Kenya Uhuru
Kenyatta wakati alipomtembelea nyumbani kwake Nairobi nchini Kenya.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akijadiliana jambo na Mama Ngina Kenyatta mama mzazi wa Rais Uhuru
Kenyatta pamoja na Rais Uhuru Kenyatta wakati alipomtembelea mama huyo nyumbani kwake Nairobi nchini Kenya.
0 comments:
Post a Comment