Ernest Meza katikati akiwa na majonzi ya kuondokewa na mama yake mzazi
huko Tanzania, lakini alijisikia faraja kuona Watanzania wenzake walivyo
jitokeza nyumbani kwa ajili ya kumpa pole.
Picha na Vijimambo Blog
Hapa ni nyumbani kwa Meza huko Mt Vernon New York, Watanzania
walijumuhika hili kumfariji mfiwa. Mama yake Meza amefariki dunia huko
Tanzania na mazishi yatafanyia nyumbani kwao Bukoba.
0 comments:
Post a Comment