Pages

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

Wednesday, April 11, 2012

Balozi wetu Oman Mh Ali Ahmed Saleh akabithi hati ya utambulisho



 Balozi wetu nchini Oman Mh Ali Ahmed Saleh (shoto) akikabidhi nakala ya hati zake za utambulisho kwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman Mh Yusuf bin  Alawi bin Abdullah huko Muscat. Baadaye atakabidhi hati hizo kwa Sultan Qaboos bin Said, Kiongozi Mkuu wa Oman
  Balozi wetu nchini Oman Mh Ali Ahmed Saleh (shoto) baada ya kuwasilisha hati zake za utambulisho kwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman Mh Yusuf bin  Alawi bin Abdullah huko Muscat 
  Balozi wetu nchini Oman Mh Ali Ahmed Saleh akiweka saini katika kitabui cha wageni kabla ya akikabidhi hati zake za utambulisho kwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman Mh Yusuf bin  Alawi bin Abdullah huko Muscat 
 Balozi wetu nchini Oman Mh Ali Ahmed Saleh  akipozi baada ya kukabidhi hati zake za utambulisho kwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman Mh Yusuf bin  Alawi bin Abdullah huko Muscat. Shoto ni afisa wa ubalozi wa Tanzania nchini Oman Bw Abdallah Kilima na kulia ni Balozi Hamad Al Kiyumi, Mkurugenzi wa Idara ya Afrika Wizara ya Mambo ya Nje ya Oman

0 comments: