Rais Mstaafu Mhe. Alhaji Ali Hassan
Mwinyi akiwasili katika uwanja
wa ndege wa kimataifa wa Dulles.
Mwinyi akiwasili katika uwanja
wa ndege wa kimataifa wa Dulles.
Rais
Mstaafu Mhe. Alhaji Ali Hassan Mwinyi
akiwa ameambatana na Mkewe
mama
Siti Mwinyi, mara baada ya
kuwasili katika uwanja wa ndege
wa kimataifa
wa Dulles.
Na Alex Kassuwi/Swahili TV
Rais
Mstaafu Mhe. Alhaji Ali
Hassan Mwinyi awasili leo hii
katika jiji
la Washington DC,
Marekani, ambapo atakuwa
mgeni rasmi katika tamasha
la
kukienzi na kukikuza kiswahili
nchini Marekani. Tamasha hili
ambalo
limeandaliwa na
Ubalozi wa Tanzania nchini
Marekani litafanyika kesho
kutwa
siku ya Jumamosi tarehe Julai
6, 2013 katika Ukumbi wa
mikutano wa
Hampton uliopo
Kutoka
kushoto, Afisa Ubalozi
Bw. Suleiman Saleh,
Mama Siti Mwinyi, Rais mstaafu
Alhaji Ali Hassan Mwinyi na Kaimu
Balozi Bi. Lily Munanka, mara
baada ya kumpokea Mgeni
Rasmi katika Tamasha la Kiswahi
chini Marekani litafanyika kesho
kutwa siku ya Jumamosi tarehe
Julai 6, 2013 katika Ukumbi
wa mikutano wa Hampton uliopo
katika Jimbo la Maryland.
Bw. Suleiman Saleh,
Mama Siti Mwinyi, Rais mstaafu
Alhaji Ali Hassan Mwinyi na Kaimu
Balozi Bi. Lily Munanka, mara
baada ya kumpokea Mgeni
Rasmi katika Tamasha la Kiswahi
chini Marekani litafanyika kesho
kutwa siku ya Jumamosi tarehe
Julai 6, 2013 katika Ukumbi
wa mikutano wa Hampton uliopo
katika Jimbo la Maryland.
Picha
kutoka kuchoto; Mkurugenzi
wa Swahili TV Bw. Alex Kassuwi.
Mama Siti
Mwinyi, Rais Mstaafu
Mhe. Ali Hassan Mwinyi na Kaimu
Balozi Bi. Lily
Munanka, mara
baada ya kumpokea Rais Mstaafu Mwinyi.
Gari
lililombeba Rais Mstaafu
Mhe. Ali Hassan Mwinyi
lilikielekea katikati
jiji la
Washingston DC, Marekani, leo hii Julai 4, 2013
Msafara wa Rais Mstaafu
Mhe. Ali Hassan Mwinyi
ukielekea katikati jiji la
Washingston DC,
Marekani, leo hii Julai 4, 2013
Hoteli alikofikia Rais
Mstaafu Mhe. Ali Hassan
Mwinyi katika jiji la
Washingston DC, Marekani, leo hii Julai 4, 2013
Rais Mstaafu
Mhe. Ali Hassan akipokelewa
na mtoto aliyempa ua katika
hoteli yake Washingston DC,
Marekani, leo hii Julai 4, 2013
Rais Mstaafu Mhe. Ali Hassan
Mwinyi mara baada ya
kuwasili katika hoteli yake
Washingston DC, Marekani, leo hii Julai 4, 2013
Rais
Mstaafu Mhe. Ali Hassan
Mwinyi akiongea na wenyeji
wake mara baada ya
kuwasili katika hoteli yake Washingston DC, Marekani, leo hii Julai 4,
2013
Rais wa Jumuiya ya Watanzania
DMV Bw. Iddi Sandali akiwa
na Kaimu Balozi Bi. Lily Munanka
Emmanuel Mgaya aka Masanja
Mkandamizaji akiwa na Mkurugenzi
wa Swahili TV Bw. Alex kassuwi
katika Hoteli alikofikia
Mkandamizaji akiwa na Mkurugenzi
wa Swahili TV Bw. Alex kassuwi
katika Hoteli alikofikia
Rais Mstaafu Mhe. Ali Hassan
Mwinyi leo hii Julai 4, 2013
Shilole akiwa na Mkurugenzi
wa Swahili TV Bw. Alex kassuwi
katika Hoteli alikofikia
wa Swahili TV Bw. Alex kassuwi
katika Hoteli alikofikia
Rais Mstaafu Mhe. Ali Hassan
Mwinyi leo hii Julai 4, 2013
Dr. Amour Mwinyi akiwa na
mdau katika Hoteli alikofikia
Rais Mstaafu Mhe. Ali Hassan
Mwinyi leo hii Julai 4, 2013
Bi.
Mindi Kasiga, Afisa habari
wa Ubalozi wa Tanzania
nchini Marekani akiwa na
Mkurugenzi wa Swahili TV
Bw. Alex kassuwi katika Hoteli alikofikia
wa Ubalozi wa Tanzania
nchini Marekani akiwa na
Mkurugenzi wa Swahili TV
Bw. Alex kassuwi katika Hoteli alikofikia
Rais Mstaafu Mhe. Ali Hassan
Mwinyi leo hii Julai 4, 2013
Msanii Shilole akiwa na
wadau waliokuja kumpokea
Rais Mstaafu Mhe. Ali Hassan
Mwinyi leo hii Julai 4, 2013 katika Hoteli yake.
Mfanyakazi
wa Ubalozi Bw. Eliud
Mbowe akiwa na Mkurugenzi
wa Swahili TV Bw. Alex kassuwi
katika Ubalozi wa Tanzania
nchini Marekani leo hii Julai 4, 2013
Mbowe akiwa na Mkurugenzi
wa Swahili TV Bw. Alex kassuwi
katika Ubalozi wa Tanzania
nchini Marekani leo hii Julai 4, 2013
Bi. Asha Nyang'anyi akiwa na
wadau katika Hoteli alikofikia
wadau katika Hoteli alikofikia
Rais Mstaafu Mhe. Ali Hassan
Mwinyi leo hii Julai 4, 2013
Wadau waliofika katika
Hoteli alikofikia
Hoteli alikofikia
Rais Mstaafu Mhe. Ali Hassan
Mwinyi leo hii Julai 4, 2013
Masanja akiwa na shabiki
wake katika Hoteli alikofikia
wake katika Hoteli alikofikia
Rais Mstaafu Mhe. Ali Hassan
Mwinyi leo hii Julai 4, 2013
PICHA NA VIJIMAMBO BLOG
0 comments:
Post a Comment