Pages

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

Sunday, August 4, 2013

Waziri Mkuu Mhe Mizengo Kayanza Peter Pinda kuktana na watanzania London Jumanne Agosti 6, 2013

Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania London unawakaribisha Watanzania wote watakaoweza kupata fursa kuja kuzungumza na Waziri Mkuu, Mheshimiwa Mizengo Kayanza Peter Pinda hapo Ubalozini siku ya Jumanne (tarehe 6 Agosti 2013) kuanzia saa Kumi na Nusu alasiri (1630 hours au 04.30 p.m.).
Katika Mkutano huo, Mheshimiwa Pinda anatarajiwa kuzungumzia masuala mbalimbali ya maendeleo ya nchi na ushirikishwaji wa Diaspora. Aidha atajibu maswali kutoka kwa wananchi hao.

IMETOLEWA NA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI UINGEREZA, LONDON, JUMAPILI (4 AGOSTI 2013)

0 comments: