Balozi
wa Tanzania Ubelgiji, Luxembourg na Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus
Kamala akiwa katika picha ya pamoja na wawakilishi pamoja na wadau
kutoka Tanzania katika sekta mbalimbali za usafirishaji wa majini ,anga
na reli.Kulia kwa Dr Kamala ni Mkurugenzi wa Tractebel Engineering
nchini Ubelgiji bwana Hein Dirix na kushoto kwa Balozi Kamala ni Mh.
Nazir Karamagi mkurugenzi mtendaji wa Tanzania International Container
Terminal Service Limited.{Picha na Maganga One}.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment