Pages

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

Thursday, June 5, 2014

Tanzania yashiriki mkutano wa mkataba wa mabadiliko ya tabianchi mjini Bonn,Ujerumani


Mwenyekiti wa Kundi la Afrika Nagmeldeen Elhassan kutoka Sudan akizungumza wakati wa mkutano wa kundi la Afrika uliokuwa ukitoa taarifa kwa ufupi kwa mawaziri wa mazingira Afrika.kulia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya makamu wa Rais -Muungano,Mh. Samia Suluhu Hassan na kushoto ni Balozi Ahmed Swaraldhab kutoka Wizara ya Mambo ya Nje nchini Sudan. Waziri Samia anahudhulia Mkutano huo kwa kumuwakilisha Waziri wa Mazingira Tanzania ambae ni mwenyekiti wa Mawaziri wa Mazingira Afrika.
Maafisa kutoka katika serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania wakishiriki katika mkutano wa kundi la Afrika kwenye mkutano wa mkataba wa mabadiliko ya tabianchi mjini Bonn Ujerumani Leo.
Waziri wa nchi Ofisi ya makamu wa rais Muungano Mh. Samia Suluhu Hassan akiwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia masuala ya mabadiliko ya Tabia Nchi Bw. Richard Muyungi katika mkutano wa kundi la G77 na China, kwenye mkutano wa Mabadiliko ya tabia nchi unaoendelea mjini Bonn Ujerumani.. (Picha zote na Evelyn Mkokoi wa ofisi ya Makamu wa Rais)

0 comments: