Balozi
wa heshima Mhe. Ahmed Issa akifanya mazungumuzo na Waziri wa Maliasili
na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu Beverly Hills California mapama leo
mazungumuzo yaliyohusu kutangaza Utalii wa Tanzana nchini Marekani pia
Waziri Nyalandu alimpongeza Balozi wa Heshima kwa kuendelea kutangaza
utalii wa Tanzania kwenye magari yake ya mizigo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment