Redio
Wüste Welle ni kituo cha redio ya kijamii kilichopo kwenye mji wa
Tübingen nchini Ujerumani ambacho kimekuwa kikijihusisha na shughuli za
kijamii ikiwemo kutoa mafunzo ya vitu mbalimbali vinavyohusiana na
taaluma ya uandishi wa habari. Mdau Edwin Moshi alikuwa ni mmoja wapo
kati ya waliopata hiyo fursa ya kutembelea kituo hicho cha redio.
Mbali na shughuli zake za utangazaji wa redio pia ni mmiliki wa mtandao wa kijamii wa EDDY BLOG
0 comments:
Post a Comment