Pages

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

Monday, January 19, 2015

KISOMO CHA KUMWOMBEA RASHID MKAKILE APONE HARAKA BOSTON, MASSACHUSETTS NCHINI MAREKANI‏

Watanzania wa Massachusetts wakifanya kisomo cha kumwombea Rashid Mkakile aendelee kupata nafuu kilichofanyika siku ya Jumamosi Januari 17, 2015. mjini Boston jimbo la Massachusetts.
Kushooto n Mohammed Mkakile(mdogo wa Rashid), Rashid Mkakile na Eliud Mbowe wakifuatilia kisomo.
Ikota akifuatilia kisomo 
Eddy akitoa shukurani kwa niaba ya Watanzania wa Massachusetts.
Rashid Mkakile akitoa shukurani zake kwa Watanzania wa Massachusetts kwa kuwa karibu nae kwa muda wote tangia siku ya kwanza ya maradhi yake.
Ikota nae akitoa shukurani kwa niaba ya familia ya Rashid Mkakile.
Mayor Mlima akitoa shukurani kwa niaba ya Watanzania wa DMV na Massachusetts.
Watanzania wa Massachusetts na baadhi kutoka Michigan na DMV wakijumuika pamoka kwenye kisomo cha kumwombea Rashid Mkakile aendelee kupata nafuu na hatimae kupona haraka.
Picha ya pamoja na Mkakile
Kwa picha zaidi bofya HAPA

0 comments: