Pages

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

Monday, September 21, 2015

MUUMIN MWINYJUMA NA DOUBLE O WAANZA MAONYESHO MSUMBIJI‏

KUNDI  la Double M chini ya Muumin Mwinyjuma, limealikwa Msumbiji kwa mwezi mzima, na katika wakati huo kundi litashiriki katika sherehe za miaka 51 ya Vita vya Ukombozi wa nchi hiyo. Wanamuziki hawa ambao ni wanachama wa Mtandao wa Wanamuziki walipitisha barua yao ya taarifa ya kwenda huko na hivyo Mtandao ukatoa taarifa Baraza la sanaa La Taifa kama inavyostahili. Waliomo katika msafara huo ni pamoja na kiongozi wa kundi Muumin Mwinyjuma,  maarufu kwa jina la KOCHA, na wanamuziki wengine 16.
-->
1.     Mwinjuma Muumin Buguza- Kiongozi wa Bendi-Muimbaji

2.     Omary Kisila- Kinanda

3.     Hamza S Waninga- Drums

4.     Imma Keffa –Bass Guitar

5.     Emmanuel Namwinga- Rhythm guitar

6.     Amina R Juma –Muimbaji

7.     Veronica D Buzeri –Dansa

8.     Neema Kawambwa-Dansa

9.     Stamili  Hamis –Dansa

10. Greyson Semsekwa – Rapper

11. Sharey Aboubakar-Muimbaji

12. Revina Mzinja -Dansa

13.  Salma Shaaban –Dansa

14. Afande Muhamada-Fundi Mitambo

15. Omary Maulid –Fundi Mitambo
16. Saleh Kupaza-Muimbaji
17. Dogo Rama-Muimbaji











Habari toka TAMUNET- Mtandano wa Wanamuziki Tanzania

0 comments: