Katibu Mkuu, Wizara ya Ardhi, Nyumba
na Maendeleo ya Makazi; Dkt. Yamungu Kayandabila akitoa Hotuba katika Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Makazi na Maendeleo
Endelevu ya Miji (UN-HABITAT III, Quito – Ecuador
Meza Kuu katika Mkutano wa Umoja wa
Mataifa wa Makazi na Maendeleo Endelevu ya Miji (UN-HABITAT III, Quito –
Ecuador) wakifuatilia Hotuba iliyokuwa ikitolewa na Katibu Mkuu, Wizara ya
Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Dkt. Yamungu Kayandabila.
Katibu Mkuu, Wizara ya Ardhi, Nyumba
na Maendeleo ya Makazi; Dkt. Yamungu Kayandabila baada ya kutoa Hotuba, akipongezwa
na Profesa Anna Tibaijuka; Mbunge wa Muleba Kusini, wengine ni Immaculata
Senje; Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Mipango Miji na Vijiji, Sada Sekiete- Afisa
Mipango Miji Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.
Katibu Mkuu; Wizara ya Ardhi, Nyumba
na Maendeleo ya Makazi; Dkt. Yamungu Kayandabila akiwa na viongozi wa
UN-HABITAT Africa Region kutoka Nairobi wakifanya mazungumzo kuhusu kufufua
shughuli za shirika hilo nchini Tanzania.
Katibu Mkuu; Wizara ya Ardhi, Nyumba
na Maendeleo ya Makazi; Dkt. Yamungu Kayandabila, Immaculata Senje; Mkurugenzi
Msaidizi wa Idara ya Mipango Miji na Vijiji, Sada Sekiete Afisa Mipango Miji Mkuu wa Wizara ya Ardhi,
Nyumba na Maendeleo ya Makazi katika picha ya pamoja na viongozi wa UN-HABITAT Africa Region kutoka
Nairobi
Wajumbe kutoka Tanzania, kutoka
kushoto ni; Katibu Mkuu; Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Dkt.
Yamungu Kayandabila, Nehemia Mchechu Mkurugenzi Mkuu katika Shirika la Nyumba
la Taifa (NHC), Immaculata Senje; Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Mipango Miji
na Vijiji, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Fatma chullo
Mkurugenzi wa sheria wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) wakifuatilia Mkutano
wa wa Umoja wa Mataifa wa Makazi na Maendeleo Endelevu ya Miji (UN-HABITAT III,
Quito – Ecuador)
Imetolewa
na Kitengo cha Mawasiliano - Wizara ya Ardhi
0 comments:
Post a Comment