Pages

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

Tuesday, July 4, 2017

BALOZI MODEST MERO AMPONGEZA KANALI GEORGE ITANG'IRE KWA KUPANDISHWA CHEO



Balozi na Mwakilishi Mkazi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa Mhe. Modest Mero akimpongeza Kanali George Itang'ire kwa kupandishwa cheo na Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt John Pombe Magufuli kutoka ngazi ya Luteni Kanali na kuwa Kanali wa JWTZ katika ofisi za ubalozi wa Tanzania jijini New York leo.
Picha kwa hisani ya Michuzi blog


0 comments: