Spika wa Jahmuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai ametembelea Kiwanja cha Ubalozi wa Tanzania nchini Nigeria ambapo kinakusudiwa kujengwa ofisi za Ubalozi mjini Abuja. Anaemuonesha ni Mhe Elias Mwandobo, Kaimu Balozi wa Tanzania nchini humo.Mwingine pichani ni Katibu wa Spika,Ndg.Saidi Yakubu.
Spika wa Jahmuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai akiwa kwenye Kiwanja ambacho kinakusudiwa kujengwa Ofisi za Ubalozi mjini Abuja. Kushoto ni Mhe Elias Mwandobo,Kaimu Balozi wa Tanzania nchini humo.
0 comments:
Post a Comment