Pages

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

Monday, July 31, 2017

SPIKA NDUGAI ATEMBELEA KIWANJA CHA UBALOZI WA TANZANIA NIGERIA


Spika wa Jahmuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai ametembelea Kiwanja cha Ubalozi wa Tanzania nchini Nigeria ambapo kinakusudiwa kujengwa ofisi za Ubalozi mjini Abuja. Anaemuonesha ni Mhe Elias Mwandobo, Kaimu Balozi wa Tanzania nchini humo.Mwingine pichani ni Katibu wa Spika,Ndg.Saidi Yakubu.
Spika wa Jahmuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai akiwa kwenye  Kiwanja ambacho kinakusudiwa kujengwa Ofisi za Ubalozi mjini Abuja. Kushoto ni  Mhe Elias Mwandobo,Kaimu Balozi wa Tanzania nchini humo.

0 comments: