Pages

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

Friday, April 20, 2012

Kocha Marcio Maximo alipokutana na wadau jijini Sao Paulo, Brazil


 Kocha Marcio Maximo akiwa na wadau wa soka alipokutana 
nao jijini Sao Paulo April 16, 2012
Ankal akibadilishana kadi na Kocha MaximoKocha Maximo 
na wadau jijini Sao Paulo
Kocha Maximo akipozi na mwandishi wa MAELEZO, 
Anna Nkinda jijini Sao Paulo
Kocha Maximo akiwa na mwanahabari mahiri wa TBC Gaston 
Msigwa jijini Sao Paulo
Kocha Maximo akipozi na mwandishi wa habari mwandamizi
wa HabariLeo  Joseph Lugendo jijini Sao Paulo

 Waziri wa Kazi,Uwezeshaji Wananchi Uchumi na Ushirika 
ZanzibarHaroun Ali Suleiman akisalimiana na Kocha Maximo
 jijini Sao Paulo

0 comments: