Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, CCM, Nape Nnauye na Mweneykiti Wa NCCR-Mageuzi James Mbatia Waudhuria Mkutano Wa Vyama Vya Siasa Nchini Denmark
Katibu wa NEC,
Itikadi na Uenezi, CCM, Nape Nnauye (wapili kushoto) na Mwenyekiti wa
NCCR-Mageuzi, James Mbatia (kulia) wakiwa na Watanzania wanaoishi
Denmark, wakati wa Mkutano wa Kimataifa wa Vyama vya Siasa uliofanyika
jijini Copenhagen, Denmark.
0 comments:
Post a Comment