Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa aliyekuwa Rais wa Malawi marehemu Prof.Bingu wa Mutharika, kijijini Ndata,wilyani Thyolo, nje ya jiji la Blantyre, nchini Malawi leo. Pembeni yake ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh Bernard Membe.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Rais wa Malawi Marehemu Prof.Bingu wa Mutharika wakti wa mazishi yake yaliyofanyika nyumbani kwake Ndata,Wilaya ya Thyolo, nje ya jiji la Blantyre, leo
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Rais mpya wa Malawi Bibi.Joyce Banda wakati wa mazishi wa Rais wa zamani wa Malawi Marehemu Prof.Bingu wa Mutharika kijijini kwake Ndata, wilayni Thyolo, nje ya Jiji la Blantyire leo asubuhi. Picha na mdau Freddy Maro wa Ikulu
0 comments:
Post a Comment