Bi.
Christiana Figeres, Executive Secretary wa United Nations Framework
Convention on Climate Change (UNFCCC) akifungua mkutano wa kimataifa wa
sayansi na taaluma wa mabadiliko ya tabia nchi, Mjini Bonn Ujerumani.
Christiana Figeres, Executive Secretary wa United Nations Framework
Convention on Climate Change (UNFCCC) akifungua mkutano wa kimataifa wa
sayansi na taaluma wa mabadiliko ya tabia nchi, Mjini Bonn Ujerumani.
Pichani
Kulia, Bw Richard Muyungi Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Mazingira Ya
Ofisi wa Makamu wa Rais, ambae Pia ni mwenyekiti wa Dunia wa kamati ya
sayansi na Taaluma ya Mabadiliko ya Tabia Nchi, pamoja na washiriki
wengine katika ufunguzi wa mkutano wa kimataifa wa mabadiliko ya Tabia
nchi unaoendela mjini Bonn Ujerumani
Kulia, Bw Richard Muyungi Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Mazingira Ya
Ofisi wa Makamu wa Rais, ambae Pia ni mwenyekiti wa Dunia wa kamati ya
sayansi na Taaluma ya Mabadiliko ya Tabia Nchi, pamoja na washiriki
wengine katika ufunguzi wa mkutano wa kimataifa wa mabadiliko ya Tabia
nchi unaoendela mjini Bonn Ujerumani
Mbele
Kulia, Bwana Alfonce Bikulamchi, Afisa Mazingira kutoka Ofisi ya Makamu
wa Rais akifuatilia kwa umakini ufunguzi wa Mkutano wa Kimataifa wa
Sayansi na Taaluma wa masuala ya mabadiliko ya Tabia Nchi unaondelea
Mjini Bonn Ujerumani.
Picha na Evelyn Mkokoi, Bonn
Kulia, Bwana Alfonce Bikulamchi, Afisa Mazingira kutoka Ofisi ya Makamu
wa Rais akifuatilia kwa umakini ufunguzi wa Mkutano wa Kimataifa wa
Sayansi na Taaluma wa masuala ya mabadiliko ya Tabia Nchi unaondelea
Mjini Bonn Ujerumani.
Picha na Evelyn Mkokoi, Bonn
0 comments:
Post a Comment