Chipukizi wa FFU alikuapo
FFU kazini kwao (mwenye miwani) ni kamanda Ras makunja
Guitarist Matondo Benda.
Mr.Jo Jo, Mkaanga Chips wa Ngoma AFrica.
Ngoma Africa Band Live at jambo seehim,Germany 28.07.2013
Ngoma Africa band on stage Jambo seeheim Festiva 2013
Si nyingine bali ni Ngoma Africa band a.k.a FFU ughaibuni,bendi maarufu yenye
ngome yake kule Ujerumani,chini ya kamanda wao Ras Makunja,bendi hiyo
imefanya kweli siku ya jumapili 28.08.2013 katika maonyesho ya Jambo
Seeheim Festival,yaliyofanyika mjini Jugenheim-Seeheim,nchini Ujerumani
kuliko ungua shoka mpini ukabaki,kama kawaida yake Ngoma Africa band
ilianza kuwasha muziki
mkali na kuwatia kiwewe washabiki waliokuwapo katika onyesho hilo,bendi
hiyo yenye utajili wa wanamuziki wenye vipaji akiwemo afande Christian
aka Chris-B,
na yule kijana Jonathan Souza a.k.a Jo Jo.
Usikose kupata burudani za FFU at www.ngoma-africa.com au http://www.ngoma-africa.com
0 comments:
Post a Comment