MH Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano waTanzania na Mwenyekiti wetu wa Chama cha Mapinduzi Tunakupa pole na tunakutakia afya njema Mwenye Enzi MUNGU akuponye haraka uzidi kulitumikia Taifa letu la Tanzania Mpendwa Rais wetu tunakuombea upate Nguvu haraka na urudi Nyumbania Salama Watanzania tunakusubiri
WaTanzania wote wanachama wote wa CCM Wana DMV Marekani wanachama Wote wa CCM Marekan Tupo pamoja nawe kwenye kipindi hiki cha Matibabu yako Ahasante
Chanzo: Vijimambo Blog
0 comments:
Post a Comment