Col. Clement Xavier Mwihava enzi ya uhai wake
Familia ya Mwihava
inapenda kuwakaribisha nyote, kwenye misa ya kumbukumbu ya baba yao
mpendwa. Col. Clement Xavier Mwihava (baba yao mzazi Cane Mwihava na
Derick Mwihava) Aliye fariki Tanzania December 26, 2014
Misa itafanyika Jumapili January 4, 2015.
Kuanzia saa nane mchana (2pm) katika kanisa la St. Edwards Roman Catholic Church Anuani ni
901 Poplar Grove St,
Baltimore, MD 21216, USA
Kwa maelezo zaidi tafadhali wasiliana na
Cane Mwihava 301 806 4699
Vitalis Gunda 240 383 6950
Karibuni sana
0 comments:
Post a Comment