Familia ya Bwana Mohammed wa Brooklyn
inasikitika kutangaza Msiba wa mama Yao Bi Aisha Hemed kilichotokea Leo
Zanzibar na maziko yalikuwa leo October 07,2015.Bi Aisha Hemed ni mama
Mkwe wa Bwana Mohammed na Mama mzazi wa mkewe Bi Fatma Omar wa Brooklyn.
Jumuiya ya Watanzania New York na
vitongoji vyake inaungana na Familia katika Msiba huu mzito wa
mwanajumuiya mwenzetu.Tunasisitiza Wanajumuiya kuungana Na wanafamilia
katika kuwafariji wafiwa pamoja Na kumuombea dua Mama yetu mpenzi
Mwenyezi Mungu amsameh makosa yake na awape wafiwa wote Subra.Ameen.
Msiba utakuwa Address hii.
341 Logan street,Brooklyn,NY.
Taarifa zaidi zitafuata Baadae.
Mawasiliano:
Moh'd......2345218281
Fatma Omar..3472044277
Tahir Bilal..9173355132
Uongozi
NY Tanzanian Community.
0 comments:
Post a Comment