Balozi
wa Kiswahili Afrika Mama Salma Kikwete akiongea wakati wa uzinduzi wa Kamusi
Rasmi ya Kiswahili nchini Kenya katika Jengo la Kenya Institute of Curriculum
Development, Nairobi, Kenya ambapo ameahidi kuitumia kwa manufaa ya Tanzania,
Kenya, Jumuiya ya Afrika Mashariki, Afrika na Duniani kwa Ujumla.
Katibu
Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel
akiongea wakati wa uzinduzi wa Kamusi Rasmi ya Kiswahili nchini Kenya katika
Jengo la Kenya Institute of Curriculum Development, Nairobi, Kenya.
Balozi
wa Kiswahili Afrika Mama Salma Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Balozi
wa Tanzania, Kenya, Dkt. Pindi Chana (wa kwanza kushoto), Naibu Katibu Mkuu
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt. Avemaria Semakafu (wa pili kushoto)
na Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Prof. Elisante Ole
Gabriel (kulia) wakati wa uzinduzi wa Kamusi Rasmi ya Kiswahili leo nchini
Kenya.
0 comments:
Post a Comment