Pages

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

Monday, July 24, 2017

MSIBA MAREKANI




Tarifa za kusikitisha za kifo cha mwenzetu Peter M Jennings Kessy. Mtanzania alikuwa akiishi Bronx New York kilichotokea siku   July11,2017 .
Ndugu Peter Jennings ni mjomba wa Rose Gadner wa Connecticut . Taratibu za mazishi zinapangwa ambapo mwili utasafirishwa kuelekea nyumbani Kilimanjaro -Tanzania.Kabla ya kusafirishwa mwili utaangwa August 12,2017(Tentative ) .
Kama ilivyo ada yetu tushirikiane ktk kipindi hiki kigumu ,tuonyeshe umoja, upendo na udugu wetu kwa hali na mali. Tunawaombea Mungu awape nguvu na faraja.
Pole kwa ndugu , jamaa, marafiki na wote walioguswa na msiba huu.

Taarifa zaidi zitatolewa kadiri zitapokuwa tayari au wasiliana na :
Rose Gadner:+12038140545



More contacts &
info to follow #UpdatesAsWeGet

Aksanteni,


Sylvester Mwingira.
Hi everyone, please click here to support my GoFundMe campaign, Peter's Tanzania Funeral Fund: 

Chanzo Michuzi Blogu


0 comments: