Pages

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

Wednesday, July 26, 2017

SPIKA NDUGAI AHUDHURIA MKUTANO WA MASPIKA WA MABUNGE YA JUMUIYA YA MADOLA BARANI AFRIKA JIJINI ABUJA, NIGERIA


Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai akitambulishwa katika mkutano wa Maspika wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Barani Afrika unaofanyika Abuja Nigeria.Mkutano huo unafanyika kujadili masuala mbali mbali yanayohusu mabunge hayo unashirikisha Maspika toka nchi 18 za Jumuiya ya Madola Barani Afrika.

0 comments: