Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai akitambulishwa katika mkutano wa Maspika wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Barani Afrika unaofanyika Abuja Nigeria.Mkutano huo unafanyika kujadili masuala mbali mbali yanayohusu mabunge hayo unashirikisha Maspika toka nchi 18 za Jumuiya ya Madola Barani Afrika.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment