Pages

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

Monday, August 28, 2017

JK AKIWA NCHINI INDIA KUHUDHURIA MKUTANO WA KUPAMBANA NA KUPUNGUZA VIFO VYA MAMA NA MTOTO


Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wajumbe wa Mkutano wa kupambana kupunguza vifo vya Mama na Mtoto, unaofanyika mjini Jaipur nchini India.
Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na baadhi ya vyombo vya habari alipokwenda kushiriki mkutano wa kupambana na kupunguza vifo vya Mama na Mtoto, unaofanyika mjini Jaipur nchini India.

0 comments: