Pages

Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com

Tuesday, August 8, 2017

VIJANA KUTOKA MJI WA VALLEJO, CALIFORNIA WATEMBELEA UBALOZI WETU WASHINGTON D.C.

Vijana sita wa Kimarekani kutoka Mji wa Vallejo, California,  (Sister City International) leo  wametembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani jijini  Washington D.C. Mji wa Vallejo ni Mji Dada na Mji wa Bagamoyo. Lengo la ziara yao ni  kujua na kujifunza masuala mbalimbali kuhusu Tanzania, kwa kuwa wanatarajia kutembelea mji wa Bagamoyo mwaka 2019.


Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Wilson M. Masilingi (kati) na afisa wa ubalozi Bw. Dismas Assenga (kulia) wakiwa na vijana  hao sita kutoka mji wa Vallejo, California

0 comments: