KAMATI MAALUM YA UCHAGUZI- DMV
TANGAZO
RASMI:
MAJINA YA WAGOMBEA UONGOZI KATIKA
JUMUIYA YA WATANZANIA DMV 2014.
RAIS: MAKAMU
WA RAIS:
1.
IDDY SANDALY 1.
HARIETT SHANGARAI
2.
LIBERATUS MWANG’OMBE 2.
SALIMA SULEIMAN
KATIBU: MAKAMU
WA KATIBU:
1.
SAID MWAMENDE 1.
SOLOMON CRIS
2.
ISMAIL MWILIMA
MWEKA HAZINA MAKAMU
WA MWEKA HAZINA
1.
JASMINE RUBAMA 1.
JACOB KINYEMI
Kamati ya Uchaguzi wa viongozi wa Jumuia ya
Watanzania- Washington Metro (ATC), inawatangazia kuwa uchaguzi ufanyika JULY 20,
2014 kuanzia saa saba mchana hadi saa kumi na mbili, anuani ya ukumbi
utatangazwa baadaye.
Taratibu zitakuwa kama zifuatazo:
1.
JUNE 19, 2014 ni tarehe ya mwisho kupokea malipo ya
ada kwa wale watakaoshiriki kupiga kura; kwa mujibu wa katiba kila mpiga kura
au mgombea wa uongozi wa Jumuiya lazima wawe wanachama hai kwa siku
zisizopungua thelathini.
2.
Hakuna malipo yeyote yatakayopokewa mlangoni siku hiyo
ya kupiga kura.
3.
Ukitaka kulipia ada yako tembelele tovuti ya jumuiya
utapata maelezo au tutumie barua pepe uchaguzi2014@gmail.com
na tutakusadia kulipia ada yako na kuwa na haki ya kupiga kura.
4.
Kama ulilipia kwa mwezi mmoja kumbuka kulipia mara
ifikapo tarehe hiyo mwezi unaofuata,mfano kama ulijiunga au kuongeza muda wako
June 6, 2014 uanachama wako unakoma siku July 6, 2014, ili uweze kupiga kura
July 20, 2014 itakubidi ufanye malipo mengine ya ada ($10) kabla ya July 6,
2014.
5.
Kamati inawatangaza rasmi wagombea hapo juu na wagombea
wanaweza kuanza kampeni kuanzia June 10, 2014.
Tunashukuru
kwa ushirikiano wenu,
Kamati maalum ya Uchaguzi DMV 2014.
0 comments:
Post a Comment